Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini hawakuwafukuza Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri,+ na tangu wakati huo Wakanaani wanaishi miongoni mwa wazao wa Efraimu+ wakifanya kazi za kulazimishwa.+

  • Waamuzi 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Watu wa kabila la Zabuloni hawakuwafukuza wakaaji wa Kitroni na wakaaji wa Nahaloli.+ Wakanaani waliendelea kukaa kati yao na kufanya kazi za kulazimishwa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 wazao wao waliobaki nchini—wale ambao Waisraeli hawakuwaangamiza+—Sulemani aliwaandikisha ili wafanye kazi ya kulazimishwa mpaka leo hii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki