Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 9:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Siku tatu baada ya kufanya agano pamoja nao, wakasikia kwamba walikuwa majirani wao na waliishi karibu nao. 17 Ndipo Waisraeli wakaanza safari na kufika katika majiji ya watu hao siku ya tatu; na majiji yao yalikuwa Gibeoni,+ Kefira, Beerothi, na Kiriath-yearimu.+

  • 1 Wafalme 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mfalme alienda Gibeoni kutoa dhabihu huko, kwa maana ndipo palipokuwa mahali maarufu* zaidi pa juu.+ Sulemani alitoa dhabihu 1,000 za kuteketezwa juu ya madhabahu hiyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki