Hesabu 26:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Hata hivyo, nchi inapaswa kugawanywa kwa kura.+ Watu wanapaswa kupokea urithi wao kulingana na majina ya makabila ya baba zao. Yoshua 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Igawanyeni nchi katika maeneo saba na kuniletea ramani yake, nami nitawapa urithi kwa kupiga kura+ mbele za Yehova Mungu wetu.
55 Hata hivyo, nchi inapaswa kugawanywa kwa kura.+ Watu wanapaswa kupokea urithi wao kulingana na majina ya makabila ya baba zao.
6 Igawanyeni nchi katika maeneo saba na kuniletea ramani yake, nami nitawapa urithi kwa kupiga kura+ mbele za Yehova Mungu wetu.