77 Wamerari waliobaki walipewa kutoka katika kabila la Zabuloni,+ Rimono na malisho yake, Tabori na malisho yake; 78 na katika eneo la Yordani kule Yeriko, upande wa mashariki wa Yordani, kutoka katika kabila la Rubeni, walipewa Beseri kule nyikani na malisho yake, Yahazi+ na malisho yake,