Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baadaye Daudi akamuuliza hivi Yehova:+ “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya majiji ya Yuda?” Yehova akamwambia: “Panda uende.” Kisha Daudi akamuuliza: “Niende wapi?” Akajibu: “Hebroni.”+

  • 2 Samweli 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa Absalomu akawatuma wapelelezi katika makabila yote ya Israeli, akawaambia: “Mara tu mtakaposikia sauti ya pembe, tangazeni hivi: ‘Absalomu amekuwa mfalme katika Hebroni!’”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:54-56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Haya ndiyo yaliyokuwa makao yao kulingana na kambi zao* katika eneo lao: wazao wa Haruni waliokuwa wa ukoo wa Wakohathi, waliangukiwa na kura ya kwanza, 55 waliwapa Hebroni+ katika nchi ya Yuda, pamoja na malisho yake. 56 Lakini mashamba ya jiji na vijiji vyake walimpa Kalebu+ mwana wa Yefune.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki