10 Mtakapovuka Yordani+ na kuishi katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu atawapa ili mwimiliki, kwa hakika atawapumzisha kutokana na maadui wenu wote wanaowazunguka, nanyi mtakaa kwa usalama.+
23 Basi Yoshua akachukua nchi yote, kama Yehova alivyomwahidi Musa,+ Yoshua akawapa Waisraeli iwe urithi wao ili igawanywe kulingana na makabila yao.+ Nchi ikawa na amani bila vita.+
4 Na Yehova Mungu wenu amewapumzisha ndugu zenu kama alivyowaahidi.+ Basi sasa rudini kwenye mahema yenu katika nchi ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa ng’ambo ya* Yordani.+