Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi akasema: “Mimi mwenyewe nitakwenda* pamoja nawe,+ nami nitakupumzisha.”+

  • Kumbukumbu la Torati 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mtakapovuka Yordani+ na kuishi katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu atawapa ili mwimiliki, kwa hakika atawapumzisha kutokana na maadui wenu wote wanaowazunguka, nanyi mtakaa kwa usalama.+

  • Yoshua 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Kumbukeni amri ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa aliposema,+ ‘Yehova Mungu wenu anawapumzisha, naye amewapa nchi hii.

  • Yoshua 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi Yoshua akachukua nchi yote, kama Yehova alivyomwahidi Musa,+ Yoshua akawapa Waisraeli iwe urithi wao ili igawanywe kulingana na makabila yao.+ Nchi ikawa na amani bila vita.+

  • Yoshua 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Yehova Mungu wenu amewapumzisha ndugu zenu kama alivyowaahidi.+ Basi sasa rudini kwenye mahema yenu katika nchi ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa ng’ambo ya* Yordani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki