11 Waisraeli wametenda dhambi. Wamevunja agano langu+ nililowaamuru washike. Wamechukua baadhi ya vitu vilivyopaswa kuharibiwa,+ wameviiba+ na kuvificha kati ya vitu vyao.+
15 Mtu atakayepatikana akiwa na kitu kinachopaswa kuharibiwa atateketezwa kwa moto,+ yeye pamoja na vitu vyake vyote, kwa sababu amevunja agano+ la Yehova na kwa sababu ametenda jambo la aibu katika Israeli.”’”