Yoshua 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Yoshua alikuwa amezeeka na umri wake ulikuwa umesonga sana.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia, “Umezeeka na umri wako umesonga sana; na bado hamjamiliki* sehemu kubwa ya nchi.
13 Basi Yoshua alikuwa amezeeka na umri wake ulikuwa umesonga sana.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia, “Umezeeka na umri wako umesonga sana; na bado hamjamiliki* sehemu kubwa ya nchi.