Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha kwa hakika mtawachukua baadhi ya mabinti wao ili waolewe na wana wenu,+ na mabinti wao watafanya ukahaba na miungu yao na kusababisha wana wenu wafanye ukahaba na miungu yao.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Msioane nao kamwe. Msikubali mabinti wenu waolewe na wana wao wala msikubali wana wenu wawaoe mabinti wao.+

  • Waamuzi 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Waisraeli walioa mabinti kutoka mataifa hayo, na kuruhusu mabinti wao waolewe na wana wao, nao wakaanza kuabudu miungu yao.+

  • 1 Wafalme 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sulemani alipozeeka,+ wake zake waliugeuza* moyo wake ukaifuata miungu mingine,+ na moyo wake haukuwa kamili kwa* Yehova Mungu wake kama moyo wa Daudi baba yake.

  • Ezra 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wamejichukulia baadhi ya mabinti wa mataifa hayo kuwa wake zao na kuwachukulia wana wao pia.+ Sasa wao, uzao mtakatifu,*+ wamechanganyika na watu wa mataifa ya nchi mbalimbali.+ Wakuu na watawala wasaidizi ndio wanaoongoza katika ukosefu huu wa uaminifu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki