Mwanzo 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova akamwambia Abramu: “Ondoka katika nchi yako na kutoka kwa watu wako wa ukoo na nyumba ya baba yako uende katika nchi nitakayokuonyesha;+ Nehemia 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wewe ndiye Yehova Mungu wa kweli, uliyemchagua Abramu,+ ukamtoa katika jiji la Uru+ la Wakaldayo na ukampa jina Abrahamu.+ Matendo 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Stefano akajibu: “Wanaume, akina ndugu na akina baba, sikilizeni. Mungu wa utukufu alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa Mesopotamia, kabla hajaanza kuishi Harani,+
12 Yehova akamwambia Abramu: “Ondoka katika nchi yako na kutoka kwa watu wako wa ukoo na nyumba ya baba yako uende katika nchi nitakayokuonyesha;+
7 Wewe ndiye Yehova Mungu wa kweli, uliyemchagua Abramu,+ ukamtoa katika jiji la Uru+ la Wakaldayo na ukampa jina Abrahamu.+
2 Stefano akajibu: “Wanaume, akina ndugu na akina baba, sikilizeni. Mungu wa utukufu alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa Mesopotamia, kabla hajaanza kuishi Harani,+