Mambo ya Walawi 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+ Zaburi 99:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mkwezeni Yehova Mungu wetu+ na kuinama chini* mbele ya kiti cha miguu yake;+Yeye ni mtakatifu.+ Isaya 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kila mmoja alimwambia mwenzake: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Dunia yote imejaa utukufu wake.” 1 Petro 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote kama Yule Mtakatifu aliyewaita ninyi,+
2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+
3 Na kila mmoja alimwambia mwenzake: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Dunia yote imejaa utukufu wake.”