Mwanzo 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akaogopa na kusema: “Mahali hapa panaogopesha kwelikweli! Bila shaka hapa ni nyumba ya Mungu,+ na hili ndilo lango la mbingu.”+ Mwanzo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi akapaita mahali hapo Betheli,* lakini hapo awali jiji hilo liliitwa Luzi.+
17 Naye akaogopa na kusema: “Mahali hapa panaogopesha kwelikweli! Bila shaka hapa ni nyumba ya Mungu,+ na hili ndilo lango la mbingu.”+