Yoshua 10:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Yoshua aliwateka wafalme hao wote na nchi zao kwa wakati mmoja, kwa sababu Yehova Mungu wa Israeli alikuwa akiwapigania Waisraeli.+ Nehemia 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi wana wao wakaingia na kuimiliki nchi hiyo,+ nawe ukawatiisha Wakanaani walioishi katika nchi hiyo,+ ukawatia mikononi mwao, wao pamoja na wafalme wao na wakaaji wa nchi, ili wawatendee wapendavyo.
42 Yoshua aliwateka wafalme hao wote na nchi zao kwa wakati mmoja, kwa sababu Yehova Mungu wa Israeli alikuwa akiwapigania Waisraeli.+
24 Basi wana wao wakaingia na kuimiliki nchi hiyo,+ nawe ukawatiisha Wakanaani walioishi katika nchi hiyo,+ ukawatia mikononi mwao, wao pamoja na wafalme wao na wakaaji wa nchi, ili wawatendee wapendavyo.