Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baadaye malaika wa Yehova akamkuta kwenye chemchemi ya maji nyikani, chemchemi iliyo njiani kuelekea Shuri.+

  • Mwanzo 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo akaliitia jina la Yehova, aliyekuwa akizungumza naye: “Wewe ni Mungu anayeona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, ni kweli kwamba nimemwona hapa yeye ambaye huniona?”

  • Mwanzo 32:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mwishowe Yakobo akabaki peke yake. Kisha mwanamume fulani akaanza kupigana naye mweleka mpaka kulipopambazuka.+

  • Mwanzo 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,*+ kwa sababu alisema, “Nimemwona Mungu uso kwa uso, lakini uhai wangu umeokolewa.”*+

  • Waamuzi 13:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Malaika wa Yehova hakumtokea tena Manoa na mke wake. Ndipo Manoa akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Yehova.+ 22 Kisha Manoa akamwambia hivi mke wake: “Hakika tutakufa, kwa sababu tumemwona Mungu.”+

  • Luka 1:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Malaika wa Yehova* akamtokea, akiwa amesimama upande wa kulia wa madhabahu ya uvumba. 12 Lakini Zekaria alihangaishwa na jambo aliloona, akaogopa sana.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki