13 Ndipo akaliitia jina la Yehova, aliyekuwa akizungumza naye: “Wewe ni Mungu anayeona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, ni kweli kwamba nimemwona hapa yeye ambaye huniona?”
21 Malaika wa Yehova hakumtokea tena Manoa na mke wake. Ndipo Manoa akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Yehova.+22 Kisha Manoa akamwambia hivi mke wake: “Hakika tutakufa, kwa sababu tumemwona Mungu.”+
11 Malaika wa Yehova* akamtokea, akiwa amesimama upande wa kulia wa madhabahu ya uvumba. 12 Lakini Zekaria alihangaishwa na jambo aliloona, akaogopa sana.