-
1 Wafalme 18:26, 27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Basi wakamchukua huyo ng’ombe dume mchanga waliyepewa, wakamtayarisha, na kuendelea kuliita jina la Baali kuanzia asubuhi mpaka adhuhuri, wakisema: “Ee Baali, tujibu!” Lakini hapakuwa na sauti yoyote, wala yeyote aliyewajibu.+ Nao wakazidi kurukaruka kuizunguka madhabahu waliyokuwa wametengeneza. 27 Karibu wakati wa adhuhuri Eliya akaanza kuwadhihaki na kusema: “Iteni kwa sauti yenu yote! Je, si yeye ni mungu?+ Labda amezama katika mawazo au ameenda chooni.* Au pengine amelala usingizi na mtu fulani anahitaji kumwamsha!”
-
-
Zaburi 115:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea;+
Zina macho, lakini haziwezi kuona;
-