Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi wakamchukua huyo ng’ombe dume mchanga waliyepewa, wakamtayarisha, na kuendelea kuliita jina la Baali kuanzia asubuhi mpaka adhuhuri, wakisema: “Ee Baali, tujibu!” Lakini hapakuwa na sauti yoyote, wala yeyote aliyewajibu.+ Nao wakazidi kurukaruka kuizunguka madhabahu waliyokuwa wametengeneza. 27 Karibu wakati wa adhuhuri Eliya akaanza kuwadhihaki na kusema: “Iteni kwa sauti yenu yote! Je, si yeye ni mungu?+ Labda amezama katika mawazo au ameenda chooni.* Au pengine amelala usingizi na mtu fulani anahitaji kumwamsha!”

  • Zaburi 115:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea;+

      Zina macho, lakini haziwezi kuona;

  • Yeremia 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kama sanamu ya kufukuza ndege katika shamba la matango, haziwezi kuzungumza;+

      Lazima zibebwe, kwa maana haziwezi kutembea.+

      Msiziogope kwa maana haziwezi kuwadhuru,

      Wala haziwezi kufanya jambo lolote jema.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki