17 “Wachokozeni Wamidiani na kuwaangamiza,+18 kwa sababu wamekuwa wakiwachokoza kwa hila zao kama ilivyokuwa kule Peori+ na pia kuhusiana na Kozbi binti ya mkuu wa Midiani, dada yao aliyeuawa+ wakati pigo lilipotokea kwa sababu ya mambo yaliyotokea Peori.”+
2 Na Wamidiani wakawakandamiza Waisraeli.+ Kwa sababu ya Wamidiani, Waisraeli wakachimba mashimo ya kujificha* katika milima, mapango, na mahali pagumu kufikiwa.+