Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Alikuwa akiyang’oa magurudumu ya magari yao ya vita hivi kwamba waliyaendesha kwa shida, na Wamisri walikuwa wakisema: “Na tuwakimbie Waisraeli tusiwakaribie kamwe, kwa sababu Yehova anawapigania dhidi ya Wamisri.”+

  • 2 Wafalme 7:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Yehova alikuwa amesababisha kambi ya Wasiria isikie sauti ya magari ya vita na farasi, sauti ya jeshi kubwa.+ Basi wakaambiana: “Tazama! Mfalme wa Israeli amekodi wafalme wa Wahiti na wafalme wa Misri watushambulie!” 7 Mara moja wakaondoka na kukimbia katika giza la jioni, wakaacha mahema yao, farasi wao, punda wao, na kambi yote kama ilivyokuwa, wakakimbia ili kuokoa maisha yao.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki