20“Mkienda vitani kupigana na maadui wenu na kuona kwamba farasi wao na magari yao ya vita na wanajeshi wao ni wengi kuliko ninyi, msiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wenu aliyewatoa nchini Misri yuko pamoja nanyi.+
16 Kisha wazao wa Yosefu wakasema: “Eneo lenye milima halitutoshi, na Wakanaani wote wanaokaa bondeni,* yaani, wale wanaokaa Beth-sheani+ na miji yake na wale wanaokaa katika Bonde la* Yezreeli,+ wana magari ya vita+ yenye miundu ya chuma.”*