11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa wa Yoashi Mwabiezeri uliokuwa Ofra.+ Gideoni mwanawe+ alikuwa akipura ngano katika shinikizo la divai ili Wamidiani wasiione.
27 Basi Gideoni akatumia dhahabu hiyo kutengeneza efodi*+ na kuiweka hadharani katika jiji lake la Ofra;+ na huko Waisraeli wote wakafanya nayo ukahaba wa kiroho,+ ikawa mtego kwa Gideoni na kwa nyumba yake.+