Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Yehova Mungu wenu atakapowaleta katika nchi ambayo mtaimiliki, ni lazima mtangaze baraka kwenye Mlima Gerizimu na laana kwenye Mlima Ebali.+

  • Yoshua 8:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Waisraeli wote pamoja na wazee wao, viongozi wao, na waamuzi wao, walikuwa wamesimama pande mbili za hilo sanduku la agano la Yehova mbele ya makuhani Walawi waliokuwa wamelibeba. Wakaaji wageni na pia wenyeji walikuwepo.+ Nusu yao walisimama mbele ya Mlima Gerizimu, na nusu walisimama mbele ya Mlima Ebali+ (kama Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa ameagiza mwanzoni),+ ili kuwabariki Waisraeli.

  • Yohana 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mababu zetu waliabudu katika mlima huu, lakini ninyi mnasema tunapaswa kumwabudu Mungu huko Yerusalemu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki