Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 8:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Mara tu baada ya Gideoni kufa, Waisraeli wakaanza tena kufanya ukahaba wa kiroho na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+

  • Waamuzi 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakampa Abimeleki vipande 70 vya fedha kutoka katika nyumba ya* Baal-berithi,+ naye akavitumia kuwakodi watu wazembe na wahuni ili wamfuate.

  • Waamuzi 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Wakaenda kuvuna zabibu katika mashamba yao ya mizabibu na kuzikanyaga katika shinikizo la divai, wakafanya sherehe, kisha wakaingia katika nyumba ya mungu wao,+ wakala, wakanywa, na kumlaani Abimeleki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki