Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na watu wangu ambao wameitwa kwa jina langu+ wakijinyenyekeza+ na kusali na kuutafuta uso wangu na kuacha njia zao ovu,+ ndipo nitakaposikia kutoka mbinguni na kuwasamehe dhambi yao na kuiponya nchi yao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Aliendelea kusali kwa Mungu, naye akaguswa na sala yake ya kusihi, akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake.+ Ndipo Manase akajua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha akaondoa katika nyumba ya Yehova+ miungu ya kigeni na ile sanamu iliyochongwa na pia madhabahu zote alizokuwa amejenga kwenye mlima wa nyumba ya Yehova+ na Yerusalemu, akaagiza vitu hivyo vitupwe nje ya jiji.

  • Zaburi 106:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Lakini alikuwa akiona taabu yao+

      Na kusikia kilio chao cha kuomba msaada.+

  • Isaya 63:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Katika taabu zao zote, yeye alitaabika.+

      Na mjumbe wake binafsi* akawaokoa.+

      Kwa upendo na huruma yake aliwakomboa,+

      Naye aliwainua na kuwabeba siku zote za zamani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki