14 Kisha Musa akawatuma wajumbe kutoka Kadeshi ili waende kwa mfalme wa Edomu,+ wamwambie: “Ndugu yako Israeli+ anasema hivi: ‘Unajua vizuri matatizo yote tuliyopata.
4 Nawe uwaamuru watu hivi: “Mtapita karibu na mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri,+ nao watawaogopa ninyi,+ basi mnapaswa kuwa waangalifu sana.