Hesabu 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Mwanamume au mwanamke akiweka nadhiri ya pekee ya kuishi akiwa Mnadhiri*+ kwa Yehova, Hesabu 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Siku zote atakazokuwa Mnadhiri hakuna wembe utakaogusa kichwa chake.+ Ataendelea kuwa mtakatifu kwa kuacha nywele za kichwa chake ziwe ndefu mpaka siku alizojitenga kwa ajili ya Yehova zitakapokwisha.
2 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Mwanamume au mwanamke akiweka nadhiri ya pekee ya kuishi akiwa Mnadhiri*+ kwa Yehova,
5 “‘Siku zote atakazokuwa Mnadhiri hakuna wembe utakaogusa kichwa chake.+ Ataendelea kuwa mtakatifu kwa kuacha nywele za kichwa chake ziwe ndefu mpaka siku alizojitenga kwa ajili ya Yehova zitakapokwisha.