Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa sababu mmekuja hapa kwangu mimi mtumishi wenu, acheni nilete kipande cha mkate ili mjiburudishe.* Kisha mnaweza kuendelea na safari yenu.” Ndipo wakasema: “Ni sawa. Unaweza kufanya kama ulivyosema.”

  • Mwanzo 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Abrahamu akakimbia kwenda kwenye mifugo, akachagua ng’ombe dume mchanga, mzuri na laini. Akampa mtumishi wake, naye akafanya haraka kumtayarisha.

  • Waamuzi 6:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tafadhali usiondoke hapa mpaka nitakaporudi na kukuletea zawadi yangu na kuiweka mbele yako.”+ Basi akasema, “Sitaondoka mpaka utakaporudi.” 19 Kwa hiyo Gideoni akaingia nyumbani na kutayarisha mwanambuzi na kuoka mikate isiyo na chachu kwa kutumia efa* ya unga.+ Akaweka nyama katika kikapu na kutia mchuzi katika chungu cha kupikia; kisha akampelekea chini ya ule mti mkubwa.

  • Waebrania 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Msisahau kuwakaribisha wageni,*+ kwa maana kwa kufanya hivyo watu fulani bila kujua waliwakaribisha malaika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki