Yoshua 19:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Uma, Afeki,+ na Rehobu+—majiji 22 na vijiji vyake. 31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.
30 Uma, Afeki,+ na Rehobu+—majiji 22 na vijiji vyake. 31 Huo ndio uliokuwa urithi wa kabila la Asheri kulingana na koo zao.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa majiji na vijiji vyake.