Waamuzi 15:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Samsoni akawaambia, “Kama haya ndiyo mambo mnayofanya, sitawaacha mpaka nitakapolipiza kisasi.”+ 8 Basi akawapiga na kuwaua watu wengi, mmoja baada ya mwingine, kisha akashuka na kwenda kukaa pangoni katika mwamba wa Etamu. Waamuzi 15:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akaona utaya mbichi wa punda dume; akauchukua na kuutumia kuua wanaume 1,000.+ 16 Kisha Samsoni akasema: “Kwa utaya wa punda—rundo moja, marundo mawili! Kwa utaya wa punda nimeua wanaume 1,000.”+
7 Kisha Samsoni akawaambia, “Kama haya ndiyo mambo mnayofanya, sitawaacha mpaka nitakapolipiza kisasi.”+ 8 Basi akawapiga na kuwaua watu wengi, mmoja baada ya mwingine, kisha akashuka na kwenda kukaa pangoni katika mwamba wa Etamu.
15 Akaona utaya mbichi wa punda dume; akauchukua na kuutumia kuua wanaume 1,000.+ 16 Kisha Samsoni akasema: “Kwa utaya wa punda—rundo moja, marundo mawili! Kwa utaya wa punda nimeua wanaume 1,000.”+