4 “Usijitengenezee sanamu ya kuchongwa au mfano wa* kitu chochote kilicho juu mbinguni au kilicho chini duniani au kilicho ndani ya maji chini ya dunia.+
26“‘Msijitengenezee miungu ya ubatili+ wala sanamu ya kuchongwa+ au nguzo takatifu, nanyi msichonge sanamu ya mawe+ katika nchi yenu na kuiinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu.
15 “‘Amelaaniwa mtu anayetengeneza sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya chuma,*+ kitu kinachomchukiza Yehova,+ kilichotengenezwa na mikono ya fundi,* na ambaye amekificha.’ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’*)