Mambo ya Walawi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Msiape kwa uwongo kwa jina langu+ na hivyo kulichafua jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. Waamuzi 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa wanaume Waisraeli walikuwa wameapa hivi kule Mispa:+ “Hakuna yeyote kati yetu atakayekubali binti yake aolewe na mwanamume Mbenjamini.”+
21 Sasa wanaume Waisraeli walikuwa wameapa hivi kule Mispa:+ “Hakuna yeyote kati yetu atakayekubali binti yake aolewe na mwanamume Mbenjamini.”+