29 Akamwita mwana huyo Noa,*+ akisema: “Huyu atatufariji katika kazi yetu ngumu na katika kazi inayoumiza ya mikono yetu kwa sababu ya ardhi iliyolaaniwa+ na Yehova.”
21 Baada ya hayo Musa akakubali kuishi na mtu huyo, naye akampa Musa binti yake aliyeitwa Sipora+ ili amwoe. 22 Baadaye Sipora akazaa mwana, naye Musa akamwita mwana huyo Gershomu,*+ kwa sababu alisema: “Nimekuwa mkaaji mgeni katika nchi ya kigeni.”+