Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Akamwita mwana huyo Noa,*+ akisema: “Huyu atatufariji katika kazi yetu ngumu na katika kazi inayoumiza ya mikono yetu kwa sababu ya ardhi iliyolaaniwa+ na Yehova.”

  • Mwanzo 41:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Yosefu alimwita mzaliwa wa kwanza Manase,*+ kwa maana alisema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.”

  • Kutoka 2:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Baada ya hayo Musa akakubali kuishi na mtu huyo, naye akampa Musa binti yake aliyeitwa Sipora+ ili amwoe. 22 Baadaye Sipora akazaa mwana, naye Musa akamwita mwana huyo Gershomu,*+ kwa sababu alisema: “Nimekuwa mkaaji mgeni katika nchi ya kigeni.”+

  • Mathayo 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Atamzaa mwana, nawe utamwita jina Yesu,*+ kwa maana atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki