1 Wafalme 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini bado watu walikuwa wakitoa dhabihu mahali pa juu,+ kwa maana kufikia wakati huo nyumba haikuwa imejengwa kwa ajili ya jina la Yehova.+ 1 Mambo ya Nyakati 16:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na kuhani Sadoki+ na makuhani wenzake walikuwa mbele ya hema la ibada la Yehova mahali pa juu kule Gibeoni+ 2 Mambo ya Nyakati 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Sulemani na Waisraeli wote wakaenda mahali pa juu kule Gibeoni,+ kwa maana hema la mkutano la Mungu wa kweli lilikuwa huko, hema ambalo Musa mtumishi wa Yehova alitengeneza nyikani.
2 Lakini bado watu walikuwa wakitoa dhabihu mahali pa juu,+ kwa maana kufikia wakati huo nyumba haikuwa imejengwa kwa ajili ya jina la Yehova.+
39 na kuhani Sadoki+ na makuhani wenzake walikuwa mbele ya hema la ibada la Yehova mahali pa juu kule Gibeoni+
3 Kisha Sulemani na Waisraeli wote wakaenda mahali pa juu kule Gibeoni,+ kwa maana hema la mkutano la Mungu wa kweli lilikuwa huko, hema ambalo Musa mtumishi wa Yehova alitengeneza nyikani.