-
1 Mambo ya Nyakati 11:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Aliyemfuata ni Eleazari+ mwana wa Dodo mwana wa Ahohi.+ Alikuwa miongoni mwa mashujaa hao watatu hodari. 13 Alikuwa na Daudi kule Pas-damimu,+ ambako Wafilisti walikuwa wamekusanyika kwa ajili ya vita. Basi palikuwa na shamba lililojaa shayiri, na watu walikuwa wamekimbia kwa sababu ya Wafilisti.
-