21Yehova akamkumbuka Sara kama alivyokuwa amesema, na Yehova akamtendea Sara jambo alilokuwa amemwahidi.+2 Basi Sara akapata mimba+ Abrahamu akiwa mzee, akamzalia mwana wakati uleule ambao Mungu alikuwa amemwahidi Abrahamu.+
19 Wakaamka asubuhi na mapema na kuinama mbele za Yehova, kisha wakarudi nyumbani kwao kule Rama.+ Elkana akafanya ngono na Hana mke wake, na Yehova akamkumbuka.*+