Mambo ya Walawi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nyama za dhabihu za ushirika zinazotolewa ili kuonyesha shukrani zinapaswa kuliwa siku ambayo dhabihu hiyo ya shukrani inatolewa. Nyama yoyote ya dhabihu hiyo haipaswi kuachwa mpaka asubuhi.+
15 Nyama za dhabihu za ushirika zinazotolewa ili kuonyesha shukrani zinapaswa kuliwa siku ambayo dhabihu hiyo ya shukrani inatolewa. Nyama yoyote ya dhabihu hiyo haipaswi kuachwa mpaka asubuhi.+