Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Chochote kinachobaki cha toleo hilo la nafaka kitakuwa cha Haruni na wanawe,+ kitakuwa kitu kitakatifu kabisa+ kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto.

  • Mambo ya Walawi 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Haruni na wanawe watatumia unga unaobaki+ kuoka mikate isiyo na chachu, nao watakula mikate hiyo mahali patakatifu. Wataila katika ua wa hema la mkutano.+

  • Mambo ya Walawi 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Pia, wewe na wanao na binti zako+ mtakula kidari cha toleo la kutikiswa na mguu wa fungu takatifu+ mkiwa mahali safi kwa sababu vitu hivyo vimetolewa ili kuwa posho yako na posho ya wanao kutoka kwenye dhabihu za ushirika za Waisraeli.

  • Hesabu 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Kila mchango mtakatifu+ kutoka kwa Waisraeli unaoletwa kwa kuhani utakuwa wake.+

  • Hesabu 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hivi ndivyo vitakavyokuwa vitu vyenu kutoka katika matoleo yote matakatifu kabisa yanayochomwa kwa moto: matoleo yao yote, kutia ndani matoleo yao ya nafaka+ na dhabihu zao za dhambi+ na dhabihu zao za hatia+ wanazoniletea. Ni vitu vitakatifu kabisa kwako na wanao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki