1 Samweli 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu wa Mungu alimjia Eli na kumwambia, “Yehova anasema hivi: ‘Je, sikujitambulisha waziwazi kwa watu wa nyumba ya baba yako walipokuwa Misri wakiwa watumwa wa nyumba ya Farao?+ 1 Samweli 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nawe utamwona adui katika makao yangu miongoni mwa mambo yote mema wanayofanyiwa Waisraeli,+ na kamwe hakutakuwa tena na mzee katika nyumba yako.
27 Mtu wa Mungu alimjia Eli na kumwambia, “Yehova anasema hivi: ‘Je, sikujitambulisha waziwazi kwa watu wa nyumba ya baba yako walipokuwa Misri wakiwa watumwa wa nyumba ya Farao?+
32 Nawe utamwona adui katika makao yangu miongoni mwa mambo yote mema wanayofanyiwa Waisraeli,+ na kamwe hakutakuwa tena na mzee katika nyumba yako.