Mambo ya Walawi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Chochote kinachobaki cha toleo hilo la nafaka kitakuwa cha Haruni na wanawe,+ kitakuwa kitu kitakatifu kabisa+ kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto. Hesabu 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Kila mchango mtakatifu+ kutoka kwa Waisraeli unaoletwa kwa kuhani utakuwa wake.+
3 Chochote kinachobaki cha toleo hilo la nafaka kitakuwa cha Haruni na wanawe,+ kitakuwa kitu kitakatifu kabisa+ kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto.