14 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Andika jambo hili katika kitabu liwe ukumbusho,* na uliseme tena kwa Yoshua: ‘Nitawaangamiza kabisa Waamaleki kutoka chini ya mbingu, nao hawatakumbukwa tena.’”+
29 Waamaleki+ wanaishi katika nchi ya Negebu,+ nao Wahiti, Wayebusi,+ na Waamori+ wanaishi katika eneo lenye milima, na Wakanaani+ wanaishi karibu na bahari+ na kwenye kingo za Yordani.”