2 Samweli 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye Mefiboshethi aliishi Yerusalemu kwa maana sikuzote alikula mezani pa mfalme;+ na miguu yake ilikuwa imelemaa.+ 1 Mambo ya Nyakati 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na mwana wa Yonathani aliitwa Merib-baali.*+ Merib-baali akamzaa Mika.+
13 Naye Mefiboshethi aliishi Yerusalemu kwa maana sikuzote alikula mezani pa mfalme;+ na miguu yake ilikuwa imelemaa.+