13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta+ na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kumtia nguvu Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akainuka na kwenda zake Rama.+
3Vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi viliendelea kwa muda mrefu; Daudi akazidi kupata nguvu,+ lakini nyumba ya Sauli ikazidi kudhoofika hatua kwa hatua.+