Kumbukumbu la Torati 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, umeanza kumwonyesha mtumishi wako ukuu wako na mkono wako wenye nguvu,+ kwa maana ni mungu gani mbinguni au duniani anayetenda mambo makuu kama wewe?+ 1 Mambo ya Nyakati 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana Yehova ni mkuu na anastahili kusifiwa kuliko wote. Anaogopesha kuliko miungu mingine yote.+
24 ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, umeanza kumwonyesha mtumishi wako ukuu wako na mkono wako wenye nguvu,+ kwa maana ni mungu gani mbinguni au duniani anayetenda mambo makuu kama wewe?+
25 Kwa maana Yehova ni mkuu na anastahili kusifiwa kuliko wote. Anaogopesha kuliko miungu mingine yote.+