-
1 Mambo ya Nyakati 19:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Baada ya muda Waamoni wakaona kuwa wananuka mbele ya Daudi, kwa hiyo Hanuni na Waamoni wakatuma talanta 1,000 za fedha* ili kukodi magari ya vita na wapanda farasi kutoka Mesopotamia,* Aram-maaka, na Soba.+ 7 Basi wakakodi magari 32,000 ya vita, pamoja na mfalme wa Maaka na watu wake. Kisha wakaja na kupiga kambi mbele ya Medeba.+ Waamoni wakakusanyika pamoja kutoka katika majiji yao, wakaja ili kupigana vita.
-