9 Ikiwa moyo wangu umeshawishiwa na mwanamke+
Nami nimenyemelea+ katika mlango wa jirani yangu,
10 Basi acha mke wangu amsagie nafaka mwanamume mwingine,
Na acha wanaume wengine wafanye ngono naye.+
11 Kwa maana hilo lingekuwa tendo la aibu,
Kosa linalostahili adhabu kutoka kwa waamuzi.+