Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 34:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Shekemu mwana wa Hamori Mhivi,+ mkuu wa nchi, alipomwona, alimchukua na kumbaka.

  • Mwanzo 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini wana wa Yakobo wakasikia habari hizo, wakarudi haraka kutoka malishoni. Waliumia moyoni na kukasirika sana kwa sababu Shekemu alikuwa amemfedhehesha Israeli kwa kumbaka binti ya Yakobo,+ jambo ambalo halipaswi kufanywa.+

  • Waamuzi 20:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha wakaaji* wa Gibea wakaja kunishambulia na kuizingira nyumba usiku. Walitaka kuniua, lakini wakambaka suria wangu, naye akafa.+ 6 Basi nikachukua maiti ya suria wangu na kuikatakata vipandevipande, kisha nikavipeleka vipande hivyo katika maeneo* yote ya urithi ya Waisraeli,+ kwa sababu walitenda jambo la aibu na lenye kufedhehesha katika Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki