2 Samweli 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mzaliwa wake wa pili alikuwa Kileabu na mama yake alikuwa Abigaili,+ mjane wa Nabali Mkarmeli; na wa tatu alikuwa Absalomu+ mwana wa Maaka, binti ya Talmai+ mfalme wa Geshuri. 2 Samweli 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Sasa Absalomu mwana wa Daudi alikuwa na dada mrembo aliyeitwa Tamari,+ basi Amnoni+ mwana wa Daudi akampenda.
3 Mzaliwa wake wa pili alikuwa Kileabu na mama yake alikuwa Abigaili,+ mjane wa Nabali Mkarmeli; na wa tatu alikuwa Absalomu+ mwana wa Maaka, binti ya Talmai+ mfalme wa Geshuri.
13 Sasa Absalomu mwana wa Daudi alikuwa na dada mrembo aliyeitwa Tamari,+ basi Amnoni+ mwana wa Daudi akampenda.