23 Siku hizo, ushauri uliotolewa na Ahithofeli+ ulionwa kama neno la* Mungu wa kweli. Hivyo ndivyo ushauri wote wa Ahithofeli ulivyothaminiwa, na Daudi na pia Absalomu.
14 Ndipo Absalomu na wanaume wote wa Israeli wakasema: “Ushauri wa Hushai Mwarki ni bora+ kuliko ushauri wa Ahithofeli!” Kwa maana Yehova alikuwa ameazimia* kuvuruga ushauri mzuri wa Ahithofeli,+ ili Yehova amletee msiba Absalomu.+
8 Haya ndiyo majina ya mashujaa hodari wa Daudi:+ Yosheb-bashebethi Mtakemoni, kiongozi wa wale watatu.+ Wakati mmoja, alitumia mkuki wake kuwaua watu 800.