1 Samweli 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, aliyeitwa Abiathari,+ akatoroka, akakimbia kumfuata Daudi. 1 Samweli 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha Daudi akamwambia kuhani Abiathari,+ mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete ile efodi hapa.”+ Kwa hiyo Abiathari akamletea Daudi hiyo efodi.
20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, aliyeitwa Abiathari,+ akatoroka, akakimbia kumfuata Daudi.
7 Kisha Daudi akamwambia kuhani Abiathari,+ mwana wa Ahimeleki: “Tafadhali ilete ile efodi hapa.”+ Kwa hiyo Abiathari akamletea Daudi hiyo efodi.