1 Samweli 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 (Zamani katika Israeli, mtu alikuwa akisema hivi alipoenda kutafuta mwongozo wa Mungu: “Njoo, twende kwa mwonaji.”+ Kwa maana mtu ambaye leo anaitwa nabii, zamani aliitwa mwonaji.)
9 (Zamani katika Israeli, mtu alikuwa akisema hivi alipoenda kutafuta mwongozo wa Mungu: “Njoo, twende kwa mwonaji.”+ Kwa maana mtu ambaye leo anaitwa nabii, zamani aliitwa mwonaji.)