-
2 Samweli 16:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Basi Hushai akamwambia Absalomu: “Siwezi kufanya hivyo, ninamuunga mkono yule aliyechaguliwa na Yehova, na watu hawa, na wanaume wote wa Israeli. Nitakaa pamoja naye. 19 Na kwa mara nyingine nasema, Ninapaswa kumtumikia nani? Je, sipaswi kumtumikia mwana wake? Kama nilivyomtumikia baba yako, ndivyo nitakavyokutumikia.”+
-