Zaburi 37:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Acha hasira na uache ghadhabu;+Usikasirike na kuanza kutenda uovu.* 1 Petro 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu.
23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu.